Blog hii ni maalumu kwa kukuletea mambo yote yanayotokea mitaani kwetu, haswa uswahilini. Tafadhali ungana nami katika kufanikisha maendeleo yetu.
Sunday, 9 September 2007
kaa macho
Wilaya ya Kinondoni imeanza msako mkali dhidi ya wafanyabiashara wenye vioski vilivyogeuzwa kuwa baa bila kufuata utaratibu kwa nia ya kukwepa malipo ya leseni halali.
No comments:
Post a Comment